Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 48

Zaburi 48:8-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. Selah
9Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
10Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
11Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.

Read Zaburi 48Zaburi 48
Compare Zaburi 48:8-11Zaburi 48:8-11