Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 48

Zaburi 48:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.

Read Zaburi 48Zaburi 48
Compare Zaburi 48:3-5Zaburi 48:3-5