Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 48

Zaburi 48:10-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
11Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.

Read Zaburi 48Zaburi 48
Compare Zaburi 48:10-11Zaburi 48:10-11