Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 46

Zaburi 46:8-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
9Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
10Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.

Read Zaburi 46Zaburi 46
Compare Zaburi 46:8-10Zaburi 46:8-10