Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 45

Zaburi 45:9-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
10Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
11Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
12Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
13Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
14Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.

Read Zaburi 45Zaburi 45
Compare Zaburi 45:9-14Zaburi 45:9-14