Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 45

Zaburi 45:3-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
4Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
5Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
6Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.

Read Zaburi 45Zaburi 45
Compare Zaburi 45:3-6Zaburi 45:3-6