20Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
21Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
22Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
23Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.