Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 41

Zaburi 41:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
5Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
6Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.

Read Zaburi 41Zaburi 41
Compare Zaburi 41:4-6Zaburi 41:4-6