Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 40

Zaburi 40:6-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Wewe haufurahishwi katika sadaka au matoleo, bali wewe umeyafungua masikio yangu; wala haukuhitaji sadaka ya kuteketeza au sadaka ya dhambi.
7Ndipo nilisema mimi, “Tazama, nimekuja; imeandikwa kuhusu mimi katika kitabu cha hati.
8Ninafurahia kuyafanya mapenzi yako, Mungu wangu; sheria zako ziko moyoni mwangu.”
9Katika kusanyiko kubwa nimetangaza habari njema ya haki yako; Yahwe, wewe unajua sikuizuia midomo yangu.

Read Zaburi 40Zaburi 40
Compare Zaburi 40:6-9Zaburi 40:6-9