Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 39

Zaburi 39:8-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Uniokoe na dhambi zangu; usinifanye laumu ya wabumbavu.
9Niko kimya na siwezi kufungua mdomo wangu, kwa sababu ni wewe ndiwe umefanya hivyo.
10Acha kunijeruhi; nimezidiwa na pigo la mkono wako.

Read Zaburi 39Zaburi 39
Compare Zaburi 39:8-10Zaburi 39:8-10