Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 38

Zaburi 38:6-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Nimepindika na kuwa mnyonge kila siku; ninaenenda katika maombolezo siku zote.
7Kwa maana ndani yangu, ninaungua; hakuna afya katika mwili wangu.
8Nimedhohofika na kulemewa sana; ninaugua kwa sababu ya dhiki yangu.

Read Zaburi 38Zaburi 38
Compare Zaburi 38:6-8Zaburi 38:6-8