Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 38

Zaburi 38:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Vidonda vyangu vimeoza na vinanuka kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
6Nimepindika na kuwa mnyonge kila siku; ninaenenda katika maombolezo siku zote.
7Kwa maana ndani yangu, ninaungua; hakuna afya katika mwili wangu.

Read Zaburi 38Zaburi 38
Compare Zaburi 38:5-7Zaburi 38:5-7