Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 38

Zaburi 38:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Mwili wangu wote unaumwa kwa sababu ya hasira yako; kwa sababu ya dhambi zangu mifupa yangu haina afya.
4Kwa maana maovu yangu yamenielemea; yamekuwa mzigo mzito kwangu.
5Vidonda vyangu vimeoza na vinanuka kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.

Read Zaburi 38Zaburi 38
Compare Zaburi 38:3-5Zaburi 38:3-5