Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 37

Zaburi 37:8-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Usikasilile na kugadhabika. Usiogope. Hii huleta matatizo tu.
9Watendao maovu watafutiliwa mbali, bali wale wamngojao Yahwe watairithi nchi.
10Katika muda mfupi mtu mwovu atatoweka; wewe utatazama mahali pake, wala hautamuona.
11Lakini wapole watairithi nchi nao watafurahia katika mafanikio makubwa.
12Mtu mwovu hupanga njama kinyume na mwenye haki na kumsagia meno.

Read Zaburi 37Zaburi 37
Compare Zaburi 37:8-12Zaburi 37:8-12