Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 37

Zaburi 37:7-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Uwe kumya mbele za Yahwe na umsubiri yeye kwa uvumilivu. Usikasirike ikiwa kuna mtu anafanikiwa kwa kile afanyacho, au afanyapo njama za uovu.
8Usikasilile na kugadhabika. Usiogope. Hii huleta matatizo tu.

Read Zaburi 37Zaburi 37
Compare Zaburi 37:7-8Zaburi 37:7-8