Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 37

Zaburi 37:34-35

Help us?
Click on verse(s) to share them!
34Umngoje Yahwe na uishike njia yake, naye atakuinua uimiliki nchi. Atakapo waondosha waovu wewe utaona.
35Nimewaona waovu na mtu wa kutisha akienea kama mti wa kijani katika udongo wa asili.

Read Zaburi 37Zaburi 37
Compare Zaburi 37:34-35Zaburi 37:34-35