Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 37

Zaburi 37:28-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
28Kwa maana Yahwe hupenda haki naye hawaachi wafuasi waaminifu. Wao hutunzwa milele, lakini uzao wa waovu utafutiliwa mabli.
29Wenye haki watairithi nchi na kuaa huko milele.

Read Zaburi 37Zaburi 37
Compare Zaburi 37:28-29Zaburi 37:28-29