Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 37

Zaburi 37:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Usikereshwe na wafanyao maovu; usiwaonee wivu wale watendao yasiyo haki.
2Kwa kuwa muda mfupi watakauka kama nyasi na kukauka kama vile mimea ya kijani ikaukavyo wakati wa kiangazi.
3Uwamini Mungu na kufanya yaliyo mema; uishi katika nchi na uongezeke katika imani.

Read Zaburi 37Zaburi 37
Compare Zaburi 37:1-3Zaburi 37:1-3