Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 33

Zaburi 33:15-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Yeye anaye iumba mioyo yao na kuyaona matendo yao yote.
16Hakuna mfalme anayeokolewa na jeshi kubwa; shujaa haokolewi na nguvu zake nyingi.
17Farasi sio salama kwa ajili ya ushindi; ijapokuwa nguvu zake ni nyingi, hawezi kuokoa.
18Tazama, macho ya Yahwe yako kwa wale wanao mhofu yeye, wale wanao litumainia agano lake takatifu
19kuwaokoa maisha yao na mauti na kuwaweka hai wakati wa jaa.
20Sisi tunamngoja Yahwe, yeye ni msaada wetu na ngao yetu.

Read Zaburi 33Zaburi 33
Compare Zaburi 33:15-20Zaburi 33:15-20