1Furahini katika Yahwe, ninyi wenye haki; kusifu kwa wenye haki kwa faa sana.
2Mshukuruni Bwana kwa kinubi; mwimbieni sifa kwa kinubi chenye nyuzi kumi.
3Mwimbieni yeye wimbo mpaya; pigeni kwa ustadi na muimbe kwa furaha.
4Kwa kuwa maneno ya Mungu ni ya hakika, na kila afanyacho ni haki.