Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 25

Zaburi 25:14-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
15Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
16Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
17Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
18Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
19Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
20Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!

Read Zaburi 25Zaburi 25
Compare Zaburi 25:14-20Zaburi 25:14-20