Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 25

Zaburi 25:12-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Ni nani ambaye anamuogopa Yahwe? Bwana atamfundisha yeye katika njia ambayo anapaswa kuichagua.
13Maisha yake yataenenda katika uzuri; na uzao wake utairithi nchi.
14Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
15Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.

Read Zaburi 25Zaburi 25
Compare Zaburi 25:12-15Zaburi 25:12-15