Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 24

Zaburi 24:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
4Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
5Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.

Read Zaburi 24Zaburi 24
Compare Zaburi 24:3-5Zaburi 24:3-5