Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 22

Zaburi 22:21-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
21Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
22Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.

Read Zaburi 22Zaburi 22
Compare Zaburi 22:21-22Zaburi 22:21-22