Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 20

Zaburi 20:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.

Read Zaburi 20Zaburi 20
Compare Zaburi 20:5-7Zaburi 20:5-7