Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 18

Zaburi 18:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa.
6dhiki yangu nilimuita Yahwe; Niliita msaada kwa Mungu. Naye alisikia sauti yangu kutoka hekaluni mwake; kuita kwangu msaada kulienda mpaka uweponi mwake; na kuingia masikioni pake.
7Kisha nchi ikatikisika na kutetemeka; misingi ya milima pia ilitetemeka na kutikiswa kwa sababu Mungu alikuwa amekasirika.

Read Zaburi 18Zaburi 18
Compare Zaburi 18:5-7Zaburi 18:5-7