Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 18

Zaburi 18:34-36

Help us?
Click on verse(s) to share them!
34Yeye hufunza viganja vyangu kwa ajili ya vita na mikono yangu kupiga upinde wa shaba.
35Wewe umenipa mimi ngao ya wokovu. Mkono wako wa kuume umenisaidia, na neema yako imenifanya kuwa mkubwa.
36Wewe umetengeneza nafasi pana kwa ajili ya miguu yangu ili miguu yangu isiteleze.

Read Zaburi 18Zaburi 18
Compare Zaburi 18:34-36Zaburi 18:34-36