Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 17

Zaburi 17:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
5Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
6Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.

Read Zaburi 17Zaburi 17
Compare Zaburi 17:4-6Zaburi 17:4-6