6Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
7kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
8Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.