Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 148

Zaburi 148:1-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
2Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
3Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
4Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
5Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.

Read Zaburi 148Zaburi 148
Compare Zaburi 148:1-5Zaburi 148:1-5