Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 146

Zaburi 146:4-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
5Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.

Read Zaburi 146Zaburi 146
Compare Zaburi 146:4-5Zaburi 146:4-5