Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 143

Zaburi 143:2-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Usimuhukumu mtumishi wako, kwa kuwa machoni pako hamna aliye haki.
3Adui ameifuatia nafsi yangu; amenisukuma hadi chini; amenifanya niishi gizani kama wale ambao wamekwisha kufa siku nyingi zilizopita.

Read Zaburi 143Zaburi 143
Compare Zaburi 143:2-3Zaburi 143:2-3