Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 143

Zaburi 143:11-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Ee Yahwe, kwa ajili ya jina lako, unihifadhi hai; katika haki yako uitoe nafsi yangu taabuni.
12Katika uaminifu wa agano lako uwaondoshe maadui zangu na uwaangamize maadui wa uhai wangu, maana mimi ni mtumishi wako.

Read Zaburi 143Zaburi 143
Compare Zaburi 143:11-12Zaburi 143:11-12