Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 142

Zaburi 142:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Kwa sauti yangu namlilia Yahwe anisaidie; kwa sauti yangu naomba kwa ajili ya neema ya Yahwe.
2Namwaga malalamiko yangu mbele zake; ninamwambia shida zangu.
3Roho yangu inapokuwa dhaifu ndani yangu, wewe unajua mapito yangu. Kwenye njia niipitayo wamenifichia mtego.

Read Zaburi 142Zaburi 142
Compare Zaburi 142:1-3Zaburi 142:1-3