Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 141

Zaburi 141:3-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Ee Yahwe, uweke mlinzi kinywani mwangu; mngojezi malangoni pa midomo yangu.
4Usiruhusu tamaa ya moyo wangu kutamani uovu wowote wala kushiriki katika matendo ya dhambi na watu waishio maovuni. Nisile vyakula vyao vya anasa.

Read Zaburi 141Zaburi 141
Compare Zaburi 141:3-4Zaburi 141:3-4