Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 132

Zaburi 132:6-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Tazama tulisikia kuhusu hilo katika Efrata; tuliipata katika konde la Yearimu.
7Tutaingia katika maskani ya Mungu; tutasujudu miguuni pake.
8Inuka, Ee Yahwe, uje mahali pako pa kupumzika, wewe na sanduku la nguvu zako!
9Makuhani wako na wavikwe uadilifu; waaminifu wako washangilie.
10Kwa ajili ya mtumishi wako Daudi, usimuache mfalme wako uliye mpaka mafuta.

Read Zaburi 132Zaburi 132
Compare Zaburi 132:6-10Zaburi 132:6-10