Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 12

Zaburi 12:5-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5“Kwa sababu ya vurugu zilizopo kinyume na maskini, na kwa sababu ya kuugua kwao wahitaji, Nitainuka,” asema Yahwe. “Nitawaletea usalama wanao hitaji.”
6Maneno ya Yahwe ni masafi, kama fedha iliyo safishwa katika tanuru duniani, iliyo ng'arishwa mara saba zaidi.

Read Zaburi 12Zaburi 12
Compare Zaburi 12:5-6Zaburi 12:5-6