Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 125

Zaburi 125:2-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
3Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
4Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.

Read Zaburi 125Zaburi 125
Compare Zaburi 125:2-4Zaburi 125:2-4