Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 121

Zaburi 121:5-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Yahwe ni mlinzi wako; Yahwe ni uvuli mkono wako wa kuume.
6Jua halitakudhuru wakati wa mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
7Yahwe atakulinda na madhara yote, na ataulinda uhai wako.
8Yahwe atakulinda katika yote ufanyayo sasa na hata milele.

Read Zaburi 121Zaburi 121
Compare Zaburi 121:5-8Zaburi 121:5-8