Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:86-90

Help us?
Click on verse(s) to share them!
86Amri zako zote ni za kuaminika; wale watu walinitesa bila ya haki; unisaidie.
87karibu kunifanya nifikie mwisho juu ya nchi hii, lakini siyakatai maagizo yako.
88Kwa upendo wako thabiti, uniweke hai, ili niweze kuzitii amri zako. LAMEDH.
89Yahwe, neno lako linasimama milele; neno lako limefanywa imara mbinguni.
90Uaminifu wako wadumu kwa ajili ya vizazi vyote; umeiimarisha nchi, nayo inadumu.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:86-90Zaburi 119:86-90