Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:48-52

Help us?
Click on verse(s) to share them!
48Nitaziinulia mikono yangu amri zako, nizipendazo; nitazitafakari sheria zako. ZAYIN.
49Kumbuka ahadi yako kwa mtumishi wako kwa sababu umenipa tumaini.
50Hii ni faraja yangu katika mateso: kuwa ahadi yako imeniweka hai.
51Wenye kiburi wamenicheka, lakini sijaiacha sheria yako.
52Nimezitafakari amri zako za haki tangu zamani, Yahwe, nami ninajifariji mwenyewe.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:48-52Zaburi 119:48-52