Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:161-163

Help us?
Click on verse(s) to share them!
161Wakuu hunitesa bila sababu; moyo wangu hutetemeka, ukiogopa kutolitii neno lako.
162Ninalifurahia neno lako kama apataye nyara nyingi.
163Ninachukia na kudharau uongo, lakini naipenda sheria yako.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:161-163Zaburi 119:161-163