Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:160-161

Help us?
Click on verse(s) to share them!
160Kiini cha neno lako ni kweli; kila mmoja mwenye amri za haki hudumu milele. SHIN.
161Wakuu hunitesa bila sababu; moyo wangu hutetemeka, ukiogopa kutolitii neno lako.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:160-161Zaburi 119:160-161