Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 10

Yohana 10:17-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
17Hii ndiyo sababu Baba ananipenda: Niutoe uhai wangu halafu niutwae tena.
18Hakuna auchukuaye kutoka kwangu, lakini mimi nautoa mwenyewe. Ninayo mamlaka ya kuutoa, na ninayo mamlaka ya kuutwaa pia. Nimelipokea agizo hili kutoka kwa Baba.”
19Mgawanyiko tena ukatokea kati ya wayahudi kwa sababu ya maneno haya.
20Wengi wao wakasema, “Ana pepo na ni kichaa. Kwa nini mnamsikiliza?”
21Wengine wakasema, “Haya siyo maneno ya mtu aliyepagawa na mapepo. Pepo linaweza kufungua macho ya kipofu?”

Read Yohana 10Yohana 10
Compare Yohana 10:17-21Yohana 10:17-21