Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 19

Mithali 19:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Bora mtu masikini ambaye huenenda katika uadilifu wake kuliko mwenye ukaidi katika maneno yake na ni mpumbavu.
2Tena, si vizuri kuwa na hamu bila maarifa na mwenye kukimbia haraka sana hukosea njia.
3Upuuzi wa mtu unaharibu maisha yake na moyo wake hughadhabika dhidi ya Yehova.

Read Mithali 19Mithali 19
Compare Mithali 19:1-3Mithali 19:1-3