Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 17

Luka 17:1-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Kisha, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Haiwezekani kabisa kusitokee vikwazo vinavyosababisha dhambi; lakini ole wake mtu yule atakayevisababisha.
2Ingekuwa afadhali kwake kufungiwa shingoni jiwe kubwa la kusagia na kutoswa baharini, kuliko kumkwaza mmoja wa wadogo hawa.
3Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, mwonye; akitubu, msamehe.
4Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema Nimetubu, lazima umsamehe.”
5Mitume wakamwambia Bwana, “Utuongezee imani.”

Read Luka 17Luka 17
Compare Luka 17:1-5Luka 17:1-5