Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 17

Luka 17:1-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Yesu akawaambia wanafunzi wake, “mambo yasababishayo watu watende dhambi hayana budi kutokea, Lakini ole wake mtu anayeyasababisha!
2Ingekua ni heri kama mtu huyo angefungiwa jiwe zito la kusagia shingoni na kutubwa baharini, kuliko kumfanya mmoja wa hawa wadogo atende dhambi.
3Jilindeni. Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu msamehe.
4Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, 'ninatubu,' msamehe!”
5Mitume wake wakamwambia Bwana, “tuongezee imani yetu.”

Read Luka 17Luka 17
Compare Luka 17:1-5Luka 17:1-5