3Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
5Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.