14leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
15hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
16Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
17Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.