9Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
12Mtu asiyefaa-mtu mwovu- huishi kwa kauli za udanganyifu wake,